Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Wednesday 30 July 2014

AJALI MBAYA YAUWA WATU 17 YAHUSISHA MORO BEST NA LORI LA MAGOGO

Pichani ni sehemu ya mbele ya basi hilo baada ya ajali

Pichani ni baadhi ya miili ya abiria waliokuwepo katika basi hilo ju na chini

Ajali mbaya  imetokea leo hasubui na kusababisha vifo vya watu zaid ya 15 katika eneo la Pandambili  katikati ya Dodoma na Morogoro ikihushisha gari ya Moro Best  (basi la abiria ) na Lori la Magogo iyokuwa ikitoka Morogoro kwenda DODOMA

No comments:

Post a Comment