Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday 4 April 2014

AJAAT YAPIGA MSASA WAHANDISHI KUHUSU UKIMWI

Mwanasheria wa TACAIDS ,Thadeus Kagumisa akielezea jambo katika  Semina ya Waandishi wa Habari Kuhusu Mambukizi ya Ukimwi iliyoandaliwa na Ajaat jijini Dar es Salaam .Kusini gesi
Afisa Habari wa TACAIDS ,Simon Karario akitoa mada wakati wa Semina ya Waandishi wa Habari Kuhusu Mambukizi ya Ukimwi iliyoandaliwa na Ajaat jijini Dar es Salaam .Picha na Kusini gesi

 
 
 
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifatilia kwa makini semina ya Mambukizi ya Ukimwi iliyoandaliwa na Ajaat jijini Dar es Salaam .Picha na Kusini gesi


No comments:

Post a Comment