Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Thursday, 27 March 2014

Wizara ya Nishati na Madini yatoa Ufafanuzi juu ya Wavamizi wa Mgodi wa RESOLUTE T LTD wa NZEGA



Kamishina wa Madini wa Wizara ya Nishati na Madini, Eng Paul Masanja Akitoa ufafanuzi kwa wandishi wa habari kuhusu Wavamizi wa Mgodi wa kampuni ya RESOLUTE (T) LTD  wa Nzega katika Ukumbi wa Idara Habari Maelezo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Msemaji wa Wizara hiyo Badra Masuod
 


Kamishina wa Madini wa Wizara ya Nishati na Madini, Eng Paul Masanja Akitoa ufafanuzi kuhusu  Wavamizi wa Mgodi wa kampuni ya RESOLUTE (T) LTD  wa Nzega kwa wandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara Habari Maelezo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Msemaji wa Wizara hiyo Badra Masuod na kushoto ni Kaimu Kamishna wa Madini Eng John Nayopa
 

No comments:

Post a Comment