Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday, 22 July 2014

IMTU YAUSISHWA NA VIUNGO VILIVYOTUPWA BUNJU



Sehemu ya viungo vya binadamu vilivyotupwa katika eneo la Bunju nje ya jiji la Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Kamanda wa jeshi la polisi,Seleman Kova akiongea na vyombo vya habari alisema tukio hilo linawahusisha moja kwa moja Hospitali ya IMTU na tayari wanawashikilia watu 8 kutokana na tukio hilo pamoja na Madaktari na Upelelezi ukikamilika hatua za kisheria zitachukuliwa.


No comments:

Post a Comment