Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday 11 July 2014

TIMU YA SIMBA YAANZA KUJIFUA CHANG’OMBE JIJINI DAR ES SALAAM

Wachezaji wa Timu ya Simba wakifanya mazoezi ya viungo Changombe Dae es Salaa.

Makocha wa Timu ya Simba Idd Pazi (katikati) na Selemani Matola wa wakizungumza na naodha wa timu hiyo Nassor Said jana katika mazoezi ya timui hiyo Chang’ombe, Jijini Dar es Salaam

Kiungo mkabaji wa Simba akijifua

No comments:

Post a Comment