Rais jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Mhe Dkt Eliezer Mbuki Feleshi kuwa Jaji wa mahakama Kuu ya Tanzania katika sherehe zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam |
Mkuu wa Jeshi la Polisi ,Erenest Mangu akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya uuzaji thamani za ndani na mapambo TGS ,Suleiman Nassor katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam. |
Waziri mkuu Mizengo Pinda na Makamu wa Rasis Dr Ghalib Bilali wakiwa katika picha na Mkurugenzi wa kampuni ya TGS ,Suleiman Nassor katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam |
Wajaji wakiwa katika picha ya Pamoja na Rais Jakaya Kikweye baada ya kuapishwa |
No comments:
Post a Comment