Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Thursday 4 June 2015

LOWASSA ACHANGIWA KUCHUKUA FOMU

Edward Lowassaakitoa neno la shukurani baada ya kupewa pesa za kuchukua fomu ya kuwania urahisi na wanchama wa ccm Tabora.

Mzee wa CCM wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Yusuf  Bundala Kasubi, (kulia) akimkabidhi Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,  zaidi ya shilingi milioni moja, zilizochangwa na wanachama wa CCM mkoani Tabora, ili kumuwezesha mtangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ili azitumia kulipia ada ya kuchukua fomu za kuwani urais kupitia chama hicho.

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, ambaye tayari ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, Edward Lowassa, akisalimiana na ujumbe wa wana CCM kutoka mkoani Tabora, walipofika nyumbani kwake mjini Dodoma leo Alhamisi Juni 4, 2015, ili kumpatia mchango wao wa nkumuwezesha kulipia ada ya fomu ya kuwani urais

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, ambaye tayari ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, Edward Lowassa, akisalimiana na ujumbe wa wana CCM kutoka mkoani Tabora, walipofika nyumbani kwake mjini Dodoma leo Alhamisi Juni 4, 2015, ili kumpatia mchango wao wa nkumuwezesha kulipia ada ya fomu ya kuwani urais

No comments:

Post a Comment