Wajumbe wakimkaribisha katika ukumbi wa mkutano Mzawa mzalendo wa jimbo la Mikumi Jumaa Hamsini |
Juma Hamsini akimwaga sera kwa wajumbe wa liokuwa walimsikiliza |
Jumaa Hamsini akibadilishana mawazo na mzee wa Kilombelo baada ya kumwaga sera. |
Jumaa Hamsini akiagana na wanachama wa Kata ya Ruhembe baada ya kuomba ridhaa ya kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo hilo. |
No comments:
Post a Comment