Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday 22 March 2016

UKAWA YAIGARAGAZA CCM UMEYA DAR

Meya wa jiji la Dar es  Salaam, Isaya Charles Mwita akitoa neno la shukurani baada ya kutangazwa mshindi.

Baadhi ya viongozi wandamizi wa Chadema wakifatilia mchakato wa uchaguzi huo.

Meya wa jiji la Dar es  Salaam, Isaya Charles Mwita akiwasalimia wanachama baada ya kutangazwa kuwa mshindi

Madiwani wa CCM wakiwa hawaamini kinachoendelea ukumbini

Diwani wa Kunduchi Michael Urio(mwenye suti) akiwa na madiwani wenzake

Askari polisi akituliza  wandishi wa habari kutekeleza majukumu yao baada ya madiwani wa ccm kuwataka wandishi kutochukuwa picha wakati wa zoezi la upigaji kura likiendelea.

No comments:

Post a Comment