Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday, 25 March 2014

TIGO YADHAMINI WAFANYABIASHARA KARIAKOO

   Meneja mawasiliao wa Tigo Jonh Wanyancha akiongea katika mkutano huo mwengine ni Recho Ndauka kutoka Hazina Captal

   Recho Ndauka kutoka Hazina Captal akiongea katika mkutano huo mungine ni Meneja mawasiliao wa Tigo Jonh Wanyancha

Kampuni ya simu za mkononi  ya tigo kwa kushirikiana na kampuni ya  Hazina Captal zinatarajia kudhamini soko la kila mwezi kwa wafanyabiashara wa kariakoo kwa kuleta biashara zao katika ghulio litakalo kuwepo katika viwanja vya COCO BEACH jijini Dar es Salam kila mwezi
Akizungumza na waadishi wa habari meneja mawasiliao wa Tigo Jonh Wanyancha alisema lengo la tigo kuzamini gulio hilo ni kuwaletea karibu wateja bidhaa ambazo ilikua inawalazimu kuzifata kariakoo kwa bei ile ile
Nae mwakilishi wa kampuni ya captal Recho Ndauka wamewasiliana na wafanyabiashara na kuwatoa hofu kwani kila kitu kipo chini ya uwezo wao na maandalizi tayari pia aliwatoa hofu wananchi kuusu usalama wao na kwamba ulinzi up wa kutosha

No comments:

Post a Comment