Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Wednesday, 26 March 2014

Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue aongoza makatibu wakuu kutembelea Ujenzi wa Miundombinu ya Umeme Kinyerezi


Wakipata Maelekezo

Meneja Mkaazi wa Kampuni ya Jacobsen Elektro, Shaun Moore (kushoto) akiwaelezea jambo  makatibu wakuu wa Wizara waliongozana na Katimu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue, waliotembelea kukagua ujenzi wa miundombinu ya Umeme  Kinyerezi , Dar es Salaam



Sehemu ya Ujenzi wa Kituo hicho

Mafundi wakiwa kazini

Taswira ya Ujenzi kwa karibu 

No comments:

Post a Comment