Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Saturday 29 March 2014

Wakazi wa Kunduchi wamzika mama Mary Mtaita

Mama Mary Enzi za Uhai wake
Jeneza likiwa tayari kwa kuagwa


Watoto wakiwa na picha pamoja na mashada

Umoja wa wanakikundi cha KIWAMA wakiwa wamebeba jeneza la aliyekuwa mwanachama mwenzao

 
 
 
Washika dau nao walikuwepo kumpa tafu mwenzao


 
 
 
 
Wajukuu wakishiriki zoezi la mwisho la kuweka mashada ya maua.
 
Wakazi wa kunduch jijini Dar es walifurika kwa wingi nyumbani kwa Mama yetu mpendwa ,Mama Mary Mtaita katika ibada ya mwisho ya Mazishi iliyofanyika jioni hii
Akisoma historia fupi ya Marehemu Msemaji wa familia alisema maerhemu alizaliwa 1948 mkoani Kilimanjaro Wilaya ya Same na kufariki siku ya tarehe 24-march 2014 kwa shinikizo la damu na leo siku ya tarehe 29 ndio siku tumempumzisha kwenye makazi yake ya milele.Marehemu ameacha watoto 7 na wajukuu 12
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa.
Ameen  
 
 
 


 


No comments:

Post a Comment