Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday 28 March 2014

TMF YATOA VYETI KWA WAHITIMU WA MAFUNZO YA UHANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI SEKTA YA GESI NA MADINI

Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF).leo umetoa vyeti kwa wahandishi wa habari Wandamizi wa Habari za Uchunguzi katika sekta ya Madini na Gesi baada ya kupitia mafunzo ya miezi 3 yalioandaliwa na mfuko huo nchini Baadhi ya wahitimu walioshiriki Mafunzo hayo ni, Jastoni Binara ,Saidi Mmanga (Changamoto)Nambambael Mduma(Habari Leo),Felix Mwakyembe (Raia Mwema),Esther Meling,Sidi Mgumia,Deo Mush,John Bwire(Raia Mwema) na Shemax Ngurumela(The African) Aidha akizungumza wakati wa utoaji tuzo huo Mkurugenzi wa TMF ,Ernest Sungura alishauri Wahariri kuwatumia Wahandishi waliopitia mafunzo hayo Kwani wanauelewa mkubwa walioupata na kuacha tabia ya kukalia stori wanazoletewa na waandishi hao.

No comments:

Post a Comment