Friday 28 March 2014
TMF YATOA VYETI KWA WAHITIMU WA MAFUNZO YA UHANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI SEKTA YA GESI NA MADINI
Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF).leo umetoa vyeti kwa wahandishi wa habari Wandamizi wa Habari za Uchunguzi katika sekta ya Madini na Gesi baada ya kupitia mafunzo ya miezi 3 yalioandaliwa na mfuko huo nchini
Baadhi ya wahitimu walioshiriki Mafunzo hayo ni, Jastoni Binara ,Saidi Mmanga (Changamoto)Nambambael Mduma(Habari Leo),Felix Mwakyembe (Raia Mwema),Esther Meling,Sidi Mgumia,Deo Mush,John Bwire(Raia Mwema) na Shemax Ngurumela(The African)
Aidha akizungumza wakati wa utoaji tuzo huo Mkurugenzi wa TMF ,Ernest Sungura alishauri Wahariri kuwatumia Wahandishi waliopitia mafunzo hayo
Kwani wanauelewa mkubwa walioupata na kuacha tabia ya kukalia stori wanazoletewa na waandishi hao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment