Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Wednesday, 16 April 2014

Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania Chatunukiwa Tuzo

Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Huria Prf Samweli Wange(kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof Tolly Mbwette wakionyesha kwa waandishi wa habari Tuzo na Vyeti walivyotunukiwa na Taasisi ya Ufaransa hivi karibuni.

Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Huria Prf Samweli Wange(kushoto)akiongea na Waandishi wakati wa kutoa taarifa ya kutunukiwa tuzo hiyo Mwingine ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof Tolly Mbwette
Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania Chatunukiwa Tuzo ya
The Diamond Eye Award for Quality Commitment and Excellence
Chuo Kikuu Huria Kimetunukiwa tuzo maalumu ya Quality Commitment and Excellence
na Cheti cha Total Quality Management & Aptitude Seal for High Quality Performance &Best Customer Satisfaction kutoka taasisi ya Paris nchini Ufaransa
Tuzo hizo hutolewa na barani ulayakwa nia ya kutambua mchango wa taasisi mbali mbali duniani ambazo zimeonyesha jitiada za kipekee katika kudumisha utoaji wa huduma kipekee
Akizungumza na wandishi wa habari Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Huria Prf Samweli Wange alisema tuzo hizo zilikabidhiwa wiki iliyopita nchini Ugerumani
 

No comments:

Post a Comment