Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Thursday, 3 April 2014

JIJI BILA UCHAFU INAWEZEKANA.

Mapaa yalioezuliwa katika mtaa wa Agrey jijini 


Baadhi ya Mabaki ya Ngazi zilizojengwa nje ya maduka zikiwa zimebomolewa katika mtaa wa Kongo Kariakoo

Mgambo wa jiji wakiendelea na zoezi la kubomoa vibanda Mwenge Stendi


Mgambo akiwajibika katika zoezi hilo

Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imaanzisha zoezi la kuondoa Vibanda vya biashara vilivyokuwa vimejengwa katika Masoko na Barabarani
Zoezi hilo ambalo lilianza juzi usiku katika mitaa ya Kariakoo kwa kuhusisha vibanda na meza za biashara zilizokiwa zimezunguka soko hilo na kuleta adhaa kuwa kwa wapita njia .
Wakiongea na Kusiningesi baadhi ya Mashuuda wa tukio hilo walisema lilihusisha  Vibanda vilivyojengwa mbele ya maduka na katika baadhi ya mitaa ya Kariakoo
Aidha usiku wa kuamkia leo zoezi hilo lilihamia Maeneo ya Mwenge stendi kwa kweli walioathirika sana na zoezi hilo ni wale nduguzangu waliokua wakifanya biashara ya Urembo na Kupaka rangi kucha kwa Dada zetu yaani kwa kifupi hakuna hata banda moja lililosalia blog hii iligundua kuwa  jiji letu hili la Makamba,Kandoro na Sadik inawezekana kuwa safi hata kama hakuna ugeni mkubwa kitaifa kama ulee wa Obama.
 

 

No comments:

Post a Comment