Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Thursday, 10 April 2014

KABURI LA SHEKH YAHAYA LAVUNJWA

 KABURI LA SHEKH KASIM JUMAA
 KABURI  LA SHEKH YAHAYA
 
Katika hali ya kushangaza usiku wa kuamkia jana Mgambo wa jiji waliendelea na zoezi la kusafisha jiji kwa kuondoa vibanda vilivyojengwa kiholela
Wakiendelea na zoezi hilo katika mitaa mbali mbali ya jiji juzi ilikuwa ni zamu ya Maeneo ya Upanga ambapo zoezi hilo lilifika katika maeneo ya Makaburi ya Tambaza na kubomoa Mapaa ya Vibanda vya Biashara katita eneo hilo na baadhi ya Makabuli ya watu Maarufu likiwemo la Shekh Yahaya Huseni aliyekuwa mtabiri wa maarufu Afrika Mashariki na Kati pamoja na Shekh Kasim Jumaa aliyekuwa Imam mkuu wa Msikiti wa Mtoro jijini Dar ves Salaam

Mtoto wa Sheikh Yahaya Hussein ,Hassan Yahaya alisema tukio hilo limewashangaza kwa jiji kwenda kuvunja kaburi la baba yao wakati haliko katika hifadhi ya barabara alisema Hassani kwa Njia ya Simu..


No comments:

Post a Comment