Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday, 25 April 2014

MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR MAMBO YALIOJIRI MWAKA 1964

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mwasisi namba moja akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar  uliopelekea kuudwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani


Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Abeid Aman Karume waasisi wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar  wakisaini makubaliano ya kuundwa kwa taifa moja la Tanzania


Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Abeid Aman Karume wakiondoka katika ukumbi baada ya kusaini hati ya muungano 1964

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mwasisi na Abeid Aman Karume Mwasisi wakibadilishana Nyaraka baada ya kusaini



No comments:

Post a Comment