Naibu Katibu Mkuu wa
Chama cha Msalaba Mwekundu nchini, Bertha Mlay (kushoto) akipokea mfano wa Hundi ya shilingi milion 20 kutoka kwa Meneja wa tigo Woinde Shisael kwa ajili ya waathirika wa mafuliko yaliyotokea jijini Dar es Salaam
Meneja wa tigo Woinde Shisael akimkabidhi vyakula ikiwa ni sehemu ya msada huo
Wafanyakazi wa Tigo na wafanyakazi wa Msalaba Mwekundu wakipooz kwa picha
No comments:
Post a Comment