Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday, 15 April 2014

TIGO YAZINDUA DUKA JIPYA LINDI

Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi Mjini Bw. Kelvin Makonda (kushoto) akimsikiliza kwa makini Meneja wa duka jipya la Tigo lilipo Lindi Mjini Bw. Ahadi Mtweve (katikati) wakati wa ufunguzi wa  duka jipya la Tigo.  Duka hilo linalopatikana mtaa wa Makongoro nyuma ya stendi kuu ni duka la 41 la Tigo nchi nzima.

Meneja wa duka jipya la Tigo lililopo Lindi Mjini Bw. Ahadi Mtweve (katikati) akimuelezea Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi Mjini Bw. Kelvin Makonda kuhusu huduma ya Tigo Pesa inayopatikana kwenye duka hilo mpya liliozinduliwa juzi na Mkurugenzi huyo. Kushoto ni mtoa huduma wa Tigo Pesa katika duka hilo Bi. Nasra Mbise. Duka hilo linalopatikana mtaa wa Makongoro nyuma ya stendi kuu ni duka la 41 la Tigo nchi nzima.



No comments:

Post a Comment