Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Thursday, 24 April 2014

TIGO YAZINDUA FACEBOOK BUREE KWA KISWAHILII

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo,Diego Gutierrez

Mkurugenzi mkuu wa Tigo ,Diego Gutierrez akizungumza wakati wa Uzinduzi wa huduma ya mtandao ya Face Book kwa kiswahili uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.Kulia ni Mkurugenzi ukanda wa afrika Nicola D Elia.


Mkurugenzi ukanda wa afrika Face Book Nicola D Elia akizungumza kushoto ni Mkurugenzi mkuu wa Tigo ,Diego Gutierrez   

Warembo wa tigo nao walikuwepo
Kampuni ya simu za mkononi Tigo imeingia mkataba wa kuwapa huduma za Face book watumiaji wa mtandao huo kwa lungha ya Kiswahili buree bila gharama yeyote.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa huduma hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Tigo,Diego Gutierrez alisema huduma hiyo itawawezesha watumiaji wa mtandao wa tigo kwa ukanda wa Africa Mashariki na Kati kupata huduma hiyo bila kulipia gharama yoyote.
Hii ni mara ya kwanza kwa kwa mitandao ya simu kutoa chuduma hiyo bila gharama yoyote na kuongeza kuwa itawawezesha wateja kuwasiliana katika mtandao huo alisema.  by kusinigesiblog



No comments:

Post a Comment