Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Monday, 5 May 2014

CHOLOLOECOVILAGE YAFANYA KONGAMANO LA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI KWENYE MIKOA YENYE UKAME


Baadhi ya washiriki katika kongamano hilo

Mkuu wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini Prof. Costantine Lifuliro (kulia), akifungua kongamano la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa mikoa yenye ukame, iliyoandaliwa na taasisi ya CHOLOLOECOVILAGE jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Aldof Mkenda na mwakilishi kutoka  Ubalozi wa Jumuia ya Ulaya. Picha na Said Khamis



Michael Farrelly(kulia) akijadiliana jambo na kamati ya mandalizi



No comments:

Post a Comment