Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Monday, 5 May 2014

MAADHIMISHO SIKU YA WAUGUZI DUNIANI YAFANYIKA LEO VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

Muuguzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam,Salama Masanja akimchoma sindano ya chanjo mtoto wa miezi 2, Boniface Valentine wakati wa madhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani, iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam

Mdau wa blog hii kutoka banda la T MARK wauzaji wa Dume condom na Red Pepeta naye alikuwepo

Banda la Angaza hilo mkuu akijiandaa kuindiadau 

No comments:

Post a Comment