Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Monday, 2 June 2014

JERRY SLAA ASIMIKA MAKAMANDA WA VIJANA KATA YA KAWE


Meya wa Ilala na Mjumbe wa NEC ,Jerry Slaa hakizungumza na wakazi wa kawe baada ya kufungua tawi la wakereketwa la washashi kawe ukwamani



 Jerry Slaa akisalimiana na mjumbe wa ccm kawe Halid

Jerry Slaa akisindikizwa na Viongozi wandamizi wa ccm kawe kuelekea katika viwanja vya soko la zamani kulia ni Machage na kushoto ni Said Herry na  Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Kawe Lilian Mkotani

Mlaponi akiwachana Ukawa kwa kitendo cha Kususia Bunge ni kama mke aliyetoroka ndani ya nyumba.

Katibu wa vijana wa ccm  Kawe Aisha Katundu akiwataka vijana kutopepesa macho mwakani


Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Kawe Lilian Mkotani akiwataka wananchi kulirudisha jimbo walilimuazima mbunge wa Chadema mwakani

Jerry Slaa akimsimika Joe Anea Joseph kuwa kamanda wa Vijana tawi la Kawe Kilimahewa

Katibu wa vijana wa ccm  Kawe Aisha Katundu kulia akijiandaa kumvisha skafu kamanda baada ya kusimikwa.

No comments:

Post a Comment