Mkuu wa wilaya ya Ilala ,Riymond Mushi akiwasili katika katika eneo la Hoteli ya Serena wakati futari iliyoandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar .
 |
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya PBZ ,Mzee Mwinyi Jumbe (kulia)na Naibu Gavana wa Benki kuu Juma Reli wakiwaongoza wateja wa benki ya zanzibar kuchukua chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na Benki hiyo jijini Dar es Salaam .
|
 |
Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya PBZ ,Said M Said akiwaongoza wateja na wafanyakazi wa benki ya zanzibar kuchukua chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na Benki hiyo jijini Dar es Salaam |
 |
Meza kuu wakiomba dua wakati wa kuhitimisha shughuli hiyo. |
No comments:
Post a Comment