Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Wednesday, 23 July 2014

TASISI YA KIISLAMU YAANDAA MANDAMANO KUPINGA MAUAJI YA KIPARESTINA



Profesa Abdul Shariff (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam , kuhusu maandamano ya kupinga vita inayoendelea dhidi ya Wapalestina yatakayofanyika kesho kuanzia Ilala Boma hadi Kigogo jirani na Kituo Kidogo cha Polisi. Maandamano hayo yameandaliwa na Tasisi ya Kiislamu ya Hawzat-Imam-Swadiq (AS). Kulia ni Sheikh Hemed Jalala. 




No comments:

Post a Comment