Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday, 18 July 2014

KITUO CHA SHERIA KWA WANAWAKE (TAWLA) YAZINDUA HUDUMA YA MSAADA KISHERIA KWA NJIA YA SIMU


Mwenyekiti wa Kituo cha msaada wa Kisheria kwa wanawake, Aisha Bade, akizungumza na wahandishi wakati wa uzinduzi wa huduma za msaada wa kisheria kwa njia ya simu Dar es Salaam jana.Kulia ni mhasibu wa klituo hicho Asina Omary Picha na Said Khamis

Mwenyekiti wa Kituo cha msaada wa Kisheria kwa wanawake, Aisha Bade,(katikati) akizungumza na wahandishi wakati wa uzinduzi wa huduma za msaada wa kisheria kwa njia ya simu Dar es Salaam jana.Kituo hicho kwa sasa kitakuwa kikitowa huduma kwa njia ya simu ambapo mtu ataweza kupiga simu na kusaidiwa bila ya kufika katika kituo hicho. 

No comments:

Post a Comment