Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Wednesday, 16 July 2014

SOKO LA BUGURUNI LAKITHIRI KWA UCHAFU

Lundo la uchafu likiwa limeachwa bila ya kuondolewa na wausika zaidi ya wiki na kusababisha harufu mbaya .
Wauzaji wa Mabogawakisubiri wateja katika soko la Buguruni jijini Dar es Salaam.Maboga yamekuwa yakitumika kwa futari kwa kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 

Muhogo ukiingia soko la Buguruni licha ya soko hilo kukithiri kwa uchafu.

No comments:

Post a Comment