Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Saturday, 18 June 2016

LOWASSA MGENI RASMI MAHAFALI YA CHASO JIJINI DAR ES SALAAM

Vijana  wanavyuo wa Chadema wanaohitimu wakiwa ukumbini

Vijana wanavyuo wa Chadema CHASO wakionyesha salamu ya mabadiliko wakati wa Mahafali yao yaliofanyika  katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salam wakati wa Mahafali yao

Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa akizungumza wakati wa mahafali ya vijana  wanavyuo wa Chadema wanaohitimu katika vyuo kadhaa yaliofanyika jijinin Dar es Salaam


No comments:

Post a Comment