Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Sunday, 19 June 2016

UDART YAZINDUA CARD ZA MSIMU ZA KUSAFIRIA


Mtendaji Mkuu wa Udart, David Mgwassa akizungumza wakati wa uzinduzi wa CARD za kudumu za kusafiria katika mabasi ya mwendo kasi jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Mkurugenzi mkuu wa Maxcom Mhandisi, Juma Rajabu .Picha na Kusini Blog
Mkurugenzi mkuu wa Maxcom Mhandisi, Juma Rajabu . akizungumza wakati wa uzinduzi wa CARD za kudumu za kusafiria katika mabasi ya mwendo kasi jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Mtendaji Mkuu wa Udart, David Mgwassa na Kushoto ni Afisa Habari wa UDRT ,Deusi Buganjwa Picha na Kusini Blog

Muonekano wa CARD

No comments:

Post a Comment