Diwani wa Kunduchi, Michael Urio akiviongoza
vikundi vya jogging kufanya mazoezi wakati wa bonanza la michezo na Uzinguzi wa
huduma ya bima ya Afya kwa kadi manispaa ya Kinondon (TIKA ) itakayomwezesha mkazi wa Wilaya ya Kinondoni kuchangia kiasi cha shilingi elf 40 kwa mwaka mzima na ataweza kujipatia huduma ya matibabu katika kituo cha afya chochote cha serikali kilichopo katika manispaa hiyo uzinduzi huo ulivikutyanisha vikundi mbali mbali vya Jogig katika maeneo ya Kunduchi,Ununio,Tegeta na Bunju uliofanyika kwenye viwanja vya Jeshini
kunduchi Dar es Salaam | | |
No comments:
Post a Comment