Mkurugenzi wa Mradi wa jengo jipya la Terminal III
lililopo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA),
Eng. Mohamed Milanga (Katikati) akitoa maelezo ya ujenzi wa jengo hilo kwa Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (kulia) wakati
alipokagua maendeleo ya ujenzi huo, Jijini Dar es salaam
|
No comments:
Post a Comment