Diwani wa Kata ya Kunduchi,Michael Urio akikabidhi
misaada ya Madaftari ,vitabu vya kusomea na vifa mbali mbali vya shule kwa
wanafunzi wa shule mbali mbali zilizopo katika kata ya Kunduchi ikiwa ni
mwendelezo wa Utekelezaji wa ahadi alizozitowa kwa wananchi wakati wa uchaguzi
.
Akizungumza na Blog hii Urio alisema katika
kuhakikisha wanasapoti azma ya serikali ya elimu bure lakini chagamoto nyingi
ni pale ambapo kuna watoto ambao wanataka kupata elimu lakini wanakosa mahitaji
muhimu kufuatia kupoteza wazazi hali inawawea
vigumu kupata mahitaji muhimu ndomana yeyeye kama mwakilishi wa serikali
akaamuwa kujitolea kuwapatia msada huo
Pia diwani huyo alishatowa msaada wa tanki za maji
kwa shule za Mtakuja,Ununio,zilizopo katika kata hiyo na kumlipa mwalimu wa
somo la Hesabu katika shule ya sekondari ya Mtakuja.
|
No comments:
Post a Comment