MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI WA NCHI MBALI MBALI IKULU DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,John Pombe
Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi
wa Hungary nchini mwenye makazi yake jijini Nairobi Kenya, Laszlo Eduard Mathe Ikulu
jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe. Sidibe Fatoumata
Kama,Balozi wa Guineanchini mwenye
makazi yake jijini Addis Ababa, Ethiopia Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho
kutoka kwa Mhe. Lebonaamang Thanda Mokalake,Balozi wa Botswana nchini mwenye
makazi yake jijini Lusaka, Zambia, leoIkulu
jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment