Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday 30 May 2017

TASISI YA REHEMA YAGAWA FUTARI BAGAMOYO

Sehemu ya vifurushi vya vyakula vilivyotolewa na Tasisi ya Rehema kwa wakazi wa Bagamoyo.

Mmoja ya viongozi wa Tasisi ya Rehema,Shekh Zubery akigawa msaada huo wa futari kwa wakazi wa kilomo Bagamoyo
Mwenyekiti wa Tasisi ya Rehema ,Mustafa Diriel akigawa mifuko ya futari kwa wasiojiweza na wazee wa kijiji cha Kilomo Bagamoyo Pwani.Chakula hili kimechangishwa na watu mbali mbali katika inchi ya Uturuki


Mbungw wa Bagamoyo Shukuru Kawambwa akiwa na timu mzima wakati wa zoezi hilo.

Alii kutoka tasisi hiyo akimkabidhi mmoja ya wazee wa Bagamoyo

Shekh Zuberi akimkabidhi Imamu wa msikiti wa Kilomo fuko lake

Baada ya kazi kubwa ya kuzunguka sehemu mbali mbali huku mvua ikisherehesha kazi hiyo mwisho watu woote walimaliza kwa Duwaaaaa.Picha na Said Khamis  

No comments:

Post a Comment