Wanachama wakizunguka mitaani kuhamasisha watu
|
Wanachama na vijana wa ccm wakielekea kuzindua tawi kabla ya mkutano
|
Kijana wa ccm akionyesha umahili wa kuzunguka na pikipiki kabla ya uzinduzi wa tawi la Mnarani
|
Kamandawa Vijanawa UVCCM akitoamchango wa laki 2 kwa Katibu wa tawi la Mnarani Mlangala Zacharia kwa ajili ya mradi ya mandeleo ya Tawi hilo
|
Mwenyekiti wa uvccm Taifa Sadifa Hamis akisoma
risala baada ya kuzindua tawi la kawe Mnarani wengine ni Mwenyekiti wa Vijana
Kata ya Kawe, Lilian Mkotani na Katibu wake Aisha Katundu
|
Said Herry akimuongoza Mwenyekiti wa uvccm Taifa Sadifa Hamis , Mwenyekiti wa Vijana
Kata ya Kawe Lilian Mkotani naKatibu wake Aisha Katundu kuingia uwanjani
|
Dada Jenn Komba , Aisha Katundu na Hadija kopa wakibadilishana mawazo
|
A
Mlezi wa Vijana Coleman Vicent Massawe akimkabidhi mwakilishi wa Timu ya Ukwamani Alli Kidogodogo msaada wa jezi wengine ni wadau na wanachama wa ccm
|
Mlezi wa Vijana Coleman Vicent Massawe akiwa na vifaa vya jadi mara baada ya kusimikwa kuwa mlezi wa Uvccm kata ya kawe. |
Mlezi wa Vijana Coleman Vicent Massawe akipewa husia namna ya kufanya kazi za chama na Katibu wa Chama wa Kinondoni Athumani Shesha. |
Wadau mbali mbali wakipoz kwa picha na Coleman Vicent Massawe |
No comments:
Post a Comment