![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akibadilishana mawazo na Rais wa Mstaafu wa Burundi Pierre Buyoya na mke wa Buyoya wakati wa maadhimisho hayo |
![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. |
![]() |
|
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Rais
Mstaafu wa Afrika Kusini Thabo Mbeki
wakibadilishana mawazo kwenye Uwanja wakati wa maadhimisho hayo.
|
![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akiagana na Rais wa Uganda Yoweri Museven baada ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbali kwenye uwanja wa Amahoro, mjini Kigali, Rwanda |





No comments:
Post a Comment