Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday, 8 April 2014

MBUNGE WA KIGAMBONI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA KUANDALIA HUDUMA ZA UCHUNGUZI WA KANSA KWA AKINAMAMA


Mbunge wa Jimbo la Kigamboni,Mh. Dkt. Faustine Ndugulile akiwapongeza kinamama wa Kigamboni kwa kujitokeza kwa wingi kwenye Kituo cha Afya Kigamboni na kwa ajili ya kupatiwa Huduma ya Uchunguzi na Tiba ya Kansa ya Mlango wa Kizazi inavyoendelea kwenye kituo hicho
 
AKIONGEA NAO BAADA YA KUWASILI HOSPITALINI HAPO.

AKIWA NA MMOJA YA MTOTO  AMBAE MZAZI WAKE ALIKUWAPO KATIKA ZOEZI HILO

AKIWAAGA  BAADHI YA KINAMAMA HAO










No comments:

Post a Comment