Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Monday, 14 July 2014

MEYA WA ILALA ,JERY SLAA ATEMBELEA SOKO LA KARIAKOO

Muonekano wa soko la Kariakoo enzi hizo mwaka 2005 


Meya wa Ilala, Jery Slaa akimsikiliza mfanyabiashara wa viungo wa Soko dogo la Kariakoo, Ramadhani Mtengule  wakati alipofanya dhiara ya kusikiliza kero mbali mbali mbaina ya wafanyabiashara hao na Wamachiga jijini Dar es Salaam 
Meya wa Ilala, Jery Slaa akimsikiliza mfanyabiashara wa Dagaa wa Soko dogo la Kariakoo,Rajabu Mgambo wakati alipofanya dhiara ya kusikiliza kero mbali mbali mbaina ya wafanyabiashara hao na Wamachiga jijini Dar es Salaam 

Mgambo wa jiji wakimnusuru mfanyabiashara aliyevamia katika ziara hiyo na kuanza kuwadhiaki wamachinga  wanaopaga bidhaa zao chini eneo la Soko dogo 

No comments:

Post a Comment