Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday, 5 February 2016

DIWANI KUNDUCHI ATOA MSAADA WA TANKI LA MAJI SHULE YA MSINGI UNUNIO

Diwani wa Kata ya Kunduchi kupitiua CCM,Michael Urio akijadiliana jambo na Mkuu wa sekondar ya Mtakuja wakati wa ziara ya kuangalia changamoto zilizop[o katika shule . 

Diwani wa Kata ya Kunduchi kupitiua CCM,Michael Urio akiwafundisha wanafunzi wa kidato cha 2 wakati wa ziara hiyo. 

Diwani wa Kata ya Kunduchi kupitiua CCM,Michael Urio akiwaga wanafunzi wa shule hiyo wakati wa ziara yake. 

Diwani wa Kata ya Kunduchi kupitiua CCM,Michael Urio akifurahia jambo na wanafunzi wa shule ya sekondar ya Ununio mara baada ya kufika kwa ajili ya kuwakabidhi Tanki la maji. 

Diwani wa Kata ya Kunduchi kupitiua CCM,Michael Urio akimkabidhi Tanki la maji mwalimu mkuu nwa shule ya Msingi Ununio ,Gerad Shao wakati wa hafla iliyofanyika shuleni ikiwa ni moja ya ahadi za Diwani huyo kuwasaidia wapigakura wake


No comments:

Post a Comment