Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Tuesday, 16 February 2016

FAINALI YA NDONDO CUP NYARA NA TEGETA HAKUNA MBAQBE MCHEZO KURUDIWA

Mgeni rasmi katika mchezo huo Diwani wa Kunduchi Michael Urio akisalimiana na viongozi wandamizi mara baada ya kuwasili

Mgeni rasmi akisalimiasna na Jonh Chacha (Banyaa) mara baada ya kuwaqsili meza kluu



Wadau wakifatilia mpira.

Diwani wa Kunduchi Michael Urio ambaye mlezi wa timu ya Tegeta  akibadilishana mawazo na Mlezi wa timu ya Nyara ,Diwani wa Kawe Rutta Rwakatare.

JICHO LANGU.... Mkazi wa jiji akipitaq jirani na nymba iliyoezuliwa paa upande mmoja  lakini bado nyumba hiyo wanaendelea kuishi kitu cha kushangaza ni pakle mvua zinaponyesha hali huwa vipi kwa watu walioko ndani katika eneo la Mburahati Madoto Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment