![]() |
Askari wa usalama Barabarani akiangalia mabaki ya Basi
|
Ajali mbaya imetokea katika kijiji cha Mpapuka Akizungumza na Kusini gesi ,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,Ulrich Matei ,alisema tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 2 :20 usiku katika eneo Mpapuka,Kibiti ,Wilayani Rufiji Mkoani Pwani
Alisema chanzo cha ajali hiyo kilitokana na gari yenye namba za usajili T 948 CUX aina ya Hiace ambalo lilikuwa linapita Lori i lenye namba za usajili T 132 AFJ aina ya Tata ambalo lilikuwa limesimama na kwenda kugongana uso kwa uso na gari yenye namba za usajili T 774 CJW aina ya Center na kusababisha vifo vya watu 20.
Matei alisema waliofariki katika ajali hiyo wanawake wawili na wanaume 18 na majeruhi 10.
Kamanda aliwataja waliofariki katika ajali hiyo ni Situs ally Mtanga (32) Mkazi wa Ikwiriri,Nassoro Kajani (20)Mkazi wa Ikwiriri,
Juma Kitambulio (30)Mkazi wa Mbagala,SalumuMakonde(50)Mkazi wa Charambe,ShabanBakari (30) Kondakta wa Hiace Mkazi wa Kibiti,Ustadh Kalilambwe 34 Mkazi wa Mbagala , Shafil Kipi ( 30) Mkazi wa Mbagala,Masud Abilal (27) Mkazi Mkuranga,Amin Mpemba (30) mkazi wa jaribu , japhet jafet ponsian (24) mkazi wa Dar es Salaam,said aly china (21) mkazi wa kimanzichana. wasabi sabil( 45) makazi wa mbagala .13 madadi hasan mangasongo (45) mkazi wa jarib, Ramadhan s. AlLy (23) mkazi wa Mbagala
Alisema wengine ni Abdalahaman yusuphu kihemke 45yrs mkazi wa kongowe fikiri said sauze mkazi wa vikindu seleman mcharazi (47) Mkazi wa mbagala. mstafa s/? mkazi wa Mbagala , nywari mshigani mkazi wa Dar es Salaam , Hasan wasabi (18) mkazi kibiti na mmoja wa kike hajatambuliwa.
Aliwataja majeruhi ni Frenk sixmund (31)dereva wa maliasili kibiti kaumia kichwani,Mohammed saleh ( 49) mkazi wa kibiti ,charlrs logasian maia (23) makazi wa kibiti,
Wengine Mohammed miaka (42) mkazi wa Dar esa salaam,Mniko magige (54) mkazi wa mkuranga,Khalid salum (32) mkazi wa Dar es salaam,Ahmad Yusuph miak (23) makazi wa kigamboni,Shomari Yusuph miaka 42) mkazi wa mburahati,Abdalaah Issa (25) mkazi wa mkuranga.