Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Thursday, 29 May 2014

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WAKANDARASI JIJINI DAR ES SALAAM

Muonekano wa banda la kampuni ya GF Trucks & Equipment kwa nje ya viwanja vya Diamond jubilee

Baadhi ya wakandarasi wakila kiapo cha  utiifu wakati wa mkutano mkuu wa Bodi ya wakandarasi nchini  uliofanyika jijini Dar es Salaam


Makamu wa Rais Dr Mohamed Ghalib Bilali akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano mkuu wa Bodi ya Wakandarasi nchini

Askari polisi wakichangamkia fursa ya kufahamu viwanja vilipo wakati walipotembelea banda la Orbit  Developer Ltd wakati wa Maonyesho ya Wakandarasi jijini


Makamu wa Rais Dr Mohamed Ghalib Bilali akikagua Magari na Mitambo ya  kampuni ya GF Trucks & Equipments wakati wa Mkutano mkuu wa Bodi ya Wakandarasi jijini Dar es Salaam .Kampuni hiyo ya GF ni miongoni mwa wazamini wa Mkutano huo

 Makamu wa Rais Dr. Mohamed Ghalib Bilali,akipata maelezo wakati alipotembelea banda la Hyundai



No comments:

Post a Comment