Afisa Afya wa Kituo cha Mabasi cha Ubungo ,Richard Katiti(kulia) akingia ndani ya basi kupulizia dawa kwa ajili ya kumuangamiza mbuu anayeambukiza ugonjwa wa Dengu ikiwa ni utekerezaji wa Agizo la Mkuu wa mkoa kwa la kupulizia dawa kwa ajili ya Taadhari ya huo jijini Dar es Salaam |
No comments:
Post a Comment