Meya wa Ilala na Mjumbe wa NEC CCM Jerry Slaa akihutubia wananchi wa Kawe baada ya kuwasimika Makamanda wa Vijana |
Meya wa Ilala na Mjumbe wa NEC CCM Jerry Slaa akisalimiana Mjumbe wa CCM Kawe Halid . |
Katibu wa vijana wa ccm Kawe Aisha Katundu akihutubia katika mkutano huo. |
Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Kawe Lilian Mkotani akimwaga CHECHE |
Meya wa Ilala na Mjumbe
wa NEC CCM Jerry Slaa akimsimika Joe Anea Joseph kuwa kamanda wa Vijana wa ccm
tawi la Kawe Kilima hewa jijini Dar es Salaam
|
A- Kamanda
wa Vijana tawi la Kilimahewa kata ya
Kawe ,Joe Anea Joseph akiwa na wapambe wake baada ya kusimikwa rasmi
|
Msafara wa Slaa kuelekea
soko la zamani la kawe kwa ajili ya kusimika Makamanda
|
Mraponi akiwapasha wakazi wa kawe kuhakikisha wanalirudisha jimbo mikononi mwa ccm
|
No comments:
Post a Comment