Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Sunday, 27 July 2014

MASABULI ATEMBELEA SHINA LA CCM PAMBA ROAD, JIJINI DAR ES SALAAM.

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masabuli kulia akipokea zawadi ya sha la maua kutoka kwa  Mwenyekiti wa Shina la CCM Kata ya Pamba Road, Sharik Choughule wakati Meya huyo alipotembea tawi hilo Dar es Salaam .Pia masabuli aliwataka vijana kuunda umoja wa kusaidiana ikiwemo kukopeshana ili kujikwamua na ugumu maisha na kuwashauri waanzishe sacoss ambapo aliwahaidi kuwachangia shilingi milioni tano. 

Katibu wa wa Uchumi na Fedha kata ya Kivukoni Abdalla Ally Sembe  akimkabidhi lisala Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masabuli mara baada ya kuisoma kushoto ni   Mwenyekiti wa Shina la CCM Kata ya Pamba Road, Sharik Choughule 

Mwenyekiti wa Shina la CCM Kata ya Pamba Road, Sharik Choughule(kulia) akimkaribisha  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masabuli wakati alipotembelea shina  hilo.Kulia ni Katibu wa shina hilo, Sofia Mbile.  

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masabuli kulia akiagana na Mmoja ya wadau wa Chama cha Mapinduzi wa shina hilo  

No comments:

Post a Comment