Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Friday, 11 July 2014

RAIS JAKAYA KIKWETE, AKUTANA NA MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI KWA CHAMA CHA FRELIMO,FILIPE NYUSI

Mgombea Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Ukombozi cha FRELIMO Filipe Nyusi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Ndogo mjini Tanga

Rais Kikwete na Mkewe Mama Salma, wakiwa katika picha ya pamoja na  mgombea huyo kwa tiketi ya FRELIMO Filipe Nyusi, Ikulu Ndogo mjini Tanga. Kushoto ni Mwenyeji wa Mgomba huyo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Picha na Adam Mzee.

No comments:

Post a Comment