Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Saturday, 27 June 2015

LOWASSA AITEKA DAR ES SALAAM

Waziri mkuu mstaafu Edward lowassa Akiwapungia mkono wanachama wa ccm waliofika kumpokea katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam

Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi, Ramadhani Madabida(kulia) akimkaribisha  waziri mkuu mstaafu, Edward lowassa wakati alipofika makaomakuu ya ccm Lumumba kuomba wadhamini Dar es Salaam

Waziri mkuu mstaafu Edward lowassa Akisalimianana wanachama wa ccm waliomdhamini katika wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam

Marafiki wa  Edward lowassa  waendesha Boda boda nao hawakua nyuma katika mapokezi hayo

No comments:

Post a Comment