Balozi wa Qatar Nchini amtembelea Rais John Magufuli
: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa Qatar hapa
nchini Mhe Abdallah Jassim Al Maadadi Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 16,
2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi
wa Qatar hapa nchini Mhe Abdallah
Jassim Al Maadadi Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 16, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Balozi wa Qatar hapa
nchini Mhe Abdallah Jassim Al Maadadi baada ya kufanya naye mazungumzo
Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 16, 2016
No comments:
Post a Comment