Kwa habari zaidi kuhusu ORBIT tembelea tovuti ya: www.orbit-tz.com
KWA MAONI AU USHAURI TUTUMIE KWENYE E-mail: kusinileo@gmail.com

Monday, 1 June 2015

YANGA YAMTAMBULIA MALIMI BUSUNGU

Meneja wa Yanga ,Hafidh Saleh (kushoto) akikabidhiwa jezi no.16mshambuliaji  mpya watimu hiyo ,Malimi Busungu wakati wa utambulisho uliofanyika Dar es Salaam jana.Katikati ni Mkuu wa kitengo cha habari Jerry Muro

Malimi Busungu akitete jambo na Mkuu wa kitengo cha habari Jerry Muro baada ya kutambulishwa.

Malimi Busungu akionyesha jezi no 16 aliyokabidhiwa .Jezi hiyo hapo awali ilikua ikivaliwa na Nizar Halfani.

No comments:

Post a Comment